TWCC MAONESHO YA 50 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA DAR ES SALAAM - SABASABA 2026
Habari njema kwa Wanawake Wajasiriamali Nchini🔥👏
Chama Cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) tunapenda kuwatangazia Wanachama na Wanawake wote wajasiriamali kutoka Mikoa yote kuwa zoezi la kujiandikisha kwa ajili ya kushiriki Maonesho ya 50 ya biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam - Sabasaba 2026 limefunguliwa rasmi
Maonesho yataanza Tarehe 28 Juni hadi 13 Julai, 2026
Mahali: Viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, Sabasaba Dar es Salaam
Gharama za ushiriki
1. Kibanda Cha Mita 9 wanakaa watu 4 (Kila mmoja )ni sh. 250,000
2. Kibanda cha Mita 9 wanakaa 3 ( kila mmoja) ni Tsh. 350,000
3. Nusu kibanda ni Tsh. 500,000
Lipia Kupitia : CRDB Bank
Akaunti: 01J1029021100
Jina: Tanzania Women Chamber of Commerce
Ukishafanya malipo tafadhali jaza fomu ya ushiriki kupitia link hapa chini 👇👇
https://sabasaba.twcc-tz.org/
Gharama Zitahusisha;
Meza, Kiti🪑, Mapambo, Ulinzi,Umeme, Sare, Mafunzo, Matangazo.
Mwisho wa kuthibitisha na Kulipia : 30 Aprili 2026.
NB: Kila mshiriki atajigharamia kitambulisho, Gharama za Kitambulisho ni Tshs. 30,000/-
Bidhaa zinazoruhusiwa: Bidhaa kutoka sekta zote zinazozalishwa ndani ya nchi, pamoja na teknolojia ndogo ndogo za uongezaji thamani.
Kwa Mawasiliano zaidi ; tupigie kupitia namba:0757823982
JISAJILI MAPEMA NAFASI ZIKIJAA DIRISHA LA USAJILI LITAFUNGWA